Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, June 28, 2013

ANANIPIGA SANA ILA NAMPENDA NAOGOPA KUMUACHA NIFANYEJE MWILI WOTE UNA MAJERAHA YA VIPISI VYA SIGARA

Ama kweli dunia ina mambo,unaambiwa tembea ujionyee yanayojiri duniani kweli MOYO UKIPENDA MACHO HAYAONI.Jana nilibahatika kwenda kutembelea maeneo Fulani hivi pande za mbezi, wakati nikiwa huko nikakutana na ma binti wawili wamekaa wanajipatia vilaji, mmoja wao alikuwa mwenye huzuni sana  bahati nzuri nawafahamu wakati naingia eneo la tukio mmoja wapo akaanza kunipa story, si unajua tena mambo ya wanawake tukikaa basi hatuishi kuteta hili mara lile, katika zungumza mwenzetu huyo akaanza kutusimulia jinsi anavyopata kipigo toka kwa mpenzi wake ambae kwa sasa wanamiaka 5 ya mahusiano, anakuambia tangu ameanza mahusiano jama ayake anawivu sana yani akimpigia simu dakika mbili isipopokelewa ni kosa akikutana nae ni kichapo. Akitoka hata kwenda sokoni asipomuarifu basi kichapo bidada ana makovu ile mbaya ya kipigo, si kwao wala si kwa marafiki wamemkataza na kumwambia hayo si mapenzi jamaa pengine hana nia nae njema atamtoa roho.

wiki chache zilizopita alienda kwenye kitchen part ya rafiki yake bahati mbaya hakuwa na usafiri hivyo alitegemea usafiri wa mashosti awahi kurudi home kwakwe, kwa bahati mbaya yule shoti mwenye gari akachelewa kurudi akarudi home kwenye saa 7 usiku, kumbe jamaa yake alishafika home tangu saa nne  na kumgoja bila kumuona, na unajua tena mambo ya mitandao simu ikawa kwa bahati mbaya haipatikani lol, wanasema siku ya kufa nyani miti yote huteleza .


Basi bwana bidada aliporudi home kesho yake  jama ayake akamuita eneo la kin'gori Arusha , binti hakuwa na hili wala lile wamekaa zao bar wanakula na kunywa mara jamaa akaanza kumhoji ilikuwaje ukachelewa binti wa watu akajielezea wee lakini wapi, unaambiwa bila haya jamaa akanyanyuka pale pale na kuanza kumpa kichapo mbele za watu tena bar .


Piga binti kisawa sawa mpaka akawa hoi ndio ikabidi watu waliokuwa bar wamuokoe jamaa kwa sifa akawa anasema TENA NAKUPIGA KISAWA SAWA NA KUKUACHA SIKUACHI. na ukitaka kashitaki popote sasa binti ndio ndugu zake kumuona na majeraha wakamtorosha na kumleta dar, binti anasema anampenda mpenzie na anataka kurudi kuleeee alilokuwa napata kichapo mmh ukimuangalia mwili mzima makovu ya hatari.


Nikajiuliza jamani Mapenzi gani haya loh ... JE UMEWAHI KUYAONA AU MWENZETU ANA TATIZO AU NDO MAPENZI YAMEKOLEA DUH .

TUZUNGUMZE JAMANI

Thursday, June 27, 2013

ATI WAJAMENI JE UMRI NI KIGEZO? UNANAFASI GANI UMRI KATIKA RELATIONSHIP. MSAIDIENI DADA GETRUDA

Habari za leo dada Sofia?? kwa kweli jana nilipopita katika blog yako nilifurahishwa sana na topic ambazo kwa jana uliweka ili tuweze kuchangamsha akili na kusaidiana walau kupeana ufahamu wa hayo machache tulio nayo mie nina maswali kwako na kwa wadau wa blog hii yetu tena naomba nikupe jina Anti sophie nakumbuka sana jina hilo ulikuwa ulilitumia wakati tulipokuwa wadogo katika kipindi cha watoto huko Terrat Simanjiro kwakweli dada nisiseme mengi nakufaamu kwa uzuri tu na nafurahiswa na kazi zako .

Sasa basi langu lengo hapa ni kukuuliza wewe na wadau wa blog yetu kama nilivyo bainisha hapo awali kuwa Ati UMRI NI KIGEZO au UMRI UNANAFASI GANI KATIKA MAHUSIANO??. mie nimetokea kupendwa na kijana mmoja jina kapuni lakini kulingana na umri wangu mie na miaka 35 yeye ana miaka 28 naogopa mmno  ingawa kijana huyo na mpenda sana, ila hofu yangu ni ndugu na marafiki pengine wataniona kama nambemenda kijana wa watu, kwa kweli najitahidi sana kumkwepa ila naona kama naidhukumu nafsi yangu mie naomba ushauri wenu marafiki pamoja na dada Sofia je nifanyeje kwasababu nampenda mmno ila nahofia umri nisaidieni.. je umri unanafasi gani katika mahusiano je nimwache tu kwasababu mdogo kuliko mie au nifanyaje naidhulumu nafsi yangu jamani.

wenu rafiki Gatruda Nipo Arusha kaloleni.

HAYA MARAFIKI HIYO NI BARUA PEPE YA MDOGO WETU GETRUDA TUNAMSAIDIAJE HEBU TUZUNGUMZE KATIKA KURASA YETU HII PENGINE ATAPATA MUAFAKA WA KILE ANACHOFIKIRIA WENU ANTI SOPHIE

Wednesday, June 26, 2013

Nakaribisha barua pepe, na lolote lile ambalo ungetaka lijadiliwe kuhusu mapenzi, mavazi, urembo, ndoa , maradhi, afya, maisha , nk

karibu sana marafiki nimeona nibadili mwelikeo wa blog yetu kwasababu najua jamii inayotuzunguka ina mambo megi sana ya kuzungumza badala ya kuonyesha tu picha za matukio ya hapa na pale ngoja niwe na mwelekeo wangu.


sisi wenyewe kwa wenyeje tukajijenga na tukapena upeo au maujuzi ya mambo mbali mbali kama ,Elimu, maisha, vyakula, mapenzi, ndoa , maradhi, afya na mengineo.


basi tafadhali maswahibu hutukuta sote kina dada na kina kaka kina baba na akina mama so huu ni ukurasa wetu kujadili na kuzungumza pamoja.

kuhusu yale mambo yetu ya habari matukio na burudani  na mengineyo yake tutayasoma katika website yetu ya www.sophiakessy.com ila kwa  haya ya kawada ambayo twatakiwa tujadili basi tuzungumze nayo hapa hapa kwenye blog yako .

niandikie nitachapisha kasha kwa pamoja tutajadili tuma barua pepe yako kupitia

Email: sophia80tz@yahoo.com 
karibu sana nawajali na nawapenda mmno nategemea support yenu.




 

WANAPOPISHANA WASICHANA KWA WAVULANA @ HUGEUKA KUANGALIA NINI???

vitu vingine huwa ni vya kujiuliza tu hivi umewahi kujiuliza sikumoja labda umekatiza mitaa Fulani Fulani mkakutana na wasichana kwa wavulana labda katika pitapita zenu au hata kama uko pekeyako umewahi kufahamu ni kwanini vijana hugeuka hata kama umesimama ukasalimiana nae bado ukiondoka mkipishana tu lazima ageuge .

kama huja experience basi jaribu sikumoja mie huwa najiuliza huwa wangeuka kuangalia nini hasa???... ha ha ha ha lol dunia ina mambo ....

@ kina kaka hebu tuzungumze # girls talk...

RAFIKI YAKO UNAVYO MJALI NA KUMPENDA YEYE ANAFANYA UFANYAVYO??? ... ZUNGUMZA NA MIE SOPHIA KESSY



Kichaga huwa tunasema shimbonyi lanye??/  ( habari jamani)
Mambo zenyuuuuuuuuu? Ninatumai kuwa wote ni wazima wa afya  mie sijambo kabisa namshukuru Allah kwa nguvu zake I am doing very well…...


leo wakati naingia ofisini nikawa natafakari mambo mengi sana miongoni mwayo ni Marafiki…. Hivi umewahi kujiuliza una marafiki wa namna gani?? Sote kama wakina dada au hata vijana tuna wale ambao huwa tunawaita close friends … Wengine sikuhizi utasikia tunaambiana BFF (Best Friend Forever) hivi hii ni kweli huwa inatoka moyoni au tunadanganya kusukuma siku  ilihali nyuma ya migongo tukitakiana mabaya.... Mbuta nanga....
 


Inakuwaje pale Yule unaemjali na kumpa kipaumbele kama rafiki yako wa karibu anakutosa au kukusaliti na wakati mwingine anakuwa na wivu au chuki na wewe kwa yale ufanyao ilimradi tu hataki kuona ukifanikiwa na mwisho wa siku bado unamkubatia na kumwita rafiki wa ukweli???


Jamani au mie ndio sielewi maana ya rafiki hebu tuzungumze rafiki yako unamuonaje na unamchukuliaje je unavyomjali na kumpenda divyo anavyofanya kwao.

 


That’s it....zungumza na mie Sophia kessy kila wakati hapa hapa usisite kuacha comment zako tafadhali msicharurane huku mkatajana majina ha ha ha mie sitakuwemo lol nataka kina dada tujifunze na tutafakari …..
rafiki yako umtendeayo je ndio akutendeavyo ????? nangoja kusikia kutoka kwako best yangu..

Tuesday, June 25, 2013

Desperate HousegirlsDesperate Housegirls NI FILAMU ILIYOANDIKWA NA KUANDALIWA na muandaaji Uduak Isong Oguamanam. filamuhii pia imeongozwa na Desmond Elliot, na kuna mastar mbalimbali ka vile Ini Edo, Desmond Elliot, Kenneth Okolie, Tamara Eteimo, Mary Lazarus, pamoja na  Benjamin Tuitu.  movie hii inazinduliwa rasmi  July 26, 2013.
 
KWA UFUPI KUHUSU HADHITHI HUSIKA KATIKA MOVIE, 
wasichana wamakamo warembo na wenye upeo mzuri sana ambao wameishi kwa muda mrefu maisha yao ya kigeto geto . kwa kuwa wameyachoka baada ya kukaa kwa muda mrefu wanaamua kuwa house girls kwenye familia za kitajiri .lengo lao hasa likiwa ni kuwa matajiri kwa haraka au wafe wakiwa wanajaribu kutajirika sasa fuatilia zaidi movie hiyo uone moto wake hakika wameicheza viziri na wamejipanga .
 
 

The Tinsel 1000 Celebration

MSEMA CHOHOTO MAARUFU TOKA NIGERIA NA AMBAE PIA NI MTANGAZAJI WA REALITY SHOW KILA JUMAPILI KWENYE MAMBO YA EVECTION UNAKUTANA NAE NI IK OSAKIOUDUWA ALISHEREHESHA PAMOJA NA MWANA DADA OSAS IGHODARO.

Tinsel 1000 Party (1) - IK Osakioduwa and Osas Ighodaro
IK Osakioduwa and Osas Ighodaro


M-Net Africa, last Thursday (May 23), held an event to celebrate the 1000th episode of it’s soap opera, Tinsel. The event was held at the Eko Hotels and Suites, Victoria Island, Lagos.  eeeh hiyo ndo habari ya wanaija shuhuli ilifana vipi na watu walitoka vipi basi  fuatilia zaidi kwa picha hizo za matukio .

Biola Alabi
Biola Alabi
Keppy Bassey Ekpenyong
Keppy Bassey Ekpenyong
Omoni Oboli
Omoni Oboli
Susan Peters
Susan Peters
Funmi Holder
Funmi Holder
Linda Ejiofor
Linda Ejiofor
Tomi Odunsi
Tomi Odunsi
Osas Ighodaro
Osas Ighodaro
Yvonne Ekwere
Yvonne Ekwere
Uti Nwachukwu
Uti Nwachukwu
Julius Agwu
Julius Agwu
Tom Ogbeiwi
Tom Ogbeiwi
Taiwo Ajai-Lycett
Taiwo Ajai-Lycett
Fred Amata and Joke Silva
Fred Amata and Joke Silva
Segun Arinze and Oge Okoye
Segun Arinze and Oge Okoye
Gideon Okeke and Linda Ejiofor

Gideon Okeke and Linda Ejiofor
Praiz performing
Praiz performing
Tinsel 1000 Party (20)

Accra International Film Festival To Honour Genevieve

 

Genevieve Nnaji (5)Star actresses, Genevieve Nnaji and Jackie Appiah, are to receive meritorious awards at the 2013 Accra International Film Festival, along with 13 others. The festival will run from June 25, 2013 through June 30, 2013. The American actor and producer, will be a special guest at the film festival.

Monday, June 24, 2013

'He still opens his eyes, it is only God who knows the end': Nelson Mandela's daughter says family will NOT withdraw medical treatment without his consent


Nelson Mandela remains in critical condition in hospital this morning as his daughter said the family will let God decide when it is time for him to go.
The 94-year-old former South African president suffered a sudden deterioration in his health last night after being admitted to hospital two weeks ago for treatment for a recurrent lung infection.
It is not known whether Mandela is on life-support - only that he is in a 'critical condition'.

But his eldest daughter Makaziwe Mandela has revealed the family will not end his medical treatment and only God can decide when his time has come to die.

South African authorities have announced that former South African president Nelson Mandela is in a 'critical condition'. He has been in hospital for two weeks for a recurring lung infection
South African authorities have announced that former president Nelson Mandela is in a 'critical condition'. He has been in hospital for two weeks for a recurring lung infection
We will not release him: Mandela's eldest daughter Makaziwe said his family will let God decide when the leader dies and they will not 'release him'
We will not release him: Mandela's eldest daughter Makaziwe said his family will let God decide when the leader dies and they will not 'release him'
 
She said: 'In our culture, the Tembu culture, that I know, the African culture that I know you never release the person unless the person has told you please my children, my family release me.
'My dad hasn’t said that to us. So these people who want to talk about, you know, release him, he hasn’t said we should release him and we haven’t come to the end yet. It is only God who knows the end.


In an interview with CNN, she added that she believed her father, who she said can still open his eyes, was at peace. She said: 'Yes, I believe he is at peace. He is at peace with himself. He has given so much to the world I believe he is at peace.'
His granddaughter Ndileka Mandela added: 'He's fighting spirit is what amazes me. I don't know what keeps him fighting and he is stoic and determined, that I will end things my way. Not any other person's way.

'I strongly feel that whatever covenant he has made with his ancestors and god has not been fulfilled, when that is fulfilled he will bow out in a way that he chooses.'
Support: Nelson Mandela's daughter Makaziwe Mandela, accompanied by a family friend Bantu Holomisa, arrive at Medi-Clinic Heart Hospital in Pretoria, Gauteng, today
Support: Nelson Mandela's daughter Makaziwe Mandela, accompanied by a family friend Bantu Holomisa, arrive at Medi-Clinic Heart Hospital in Pretoria, Gauteng, today
Mandela's daughter Makaziwe Mandela pictured center with granddaughters Tukwini Mandela, left, and Ndileka Mandela, right, arrive at the Mediclinic Heart Hospital where Nelson Mandela is being treated earlier this month
Mandela's daughter Makaziwe Mandela pictured center with granddaughters Tukwini Mandela, left, and Ndileka Mandela, right, arrive at the Mediclinic Heart Hospital where Nelson Mandela is being treated earlier this month
 
South African President Jacob Zuma, pictured with Mr Mandela in April, said: 'Madiba is well-looked after and is comfortable. He is in good hands'
South African President Jacob Zuma, pictured with Mr Mandela in April, said: 'Madiba is well-looked after and is comfortable. He is in good hands'
 

Former wife Winnie Madikizela-Mandela leaves the Pretoria hospital where Mandela is being treated in this June 14 picture
Former wife Winnie Madikizela-Mandela leaves the Pretoria hospital where Mandela is being treated in this June 14 picture

Legacy: Mandela has been vulnerable to respiratory problems since contracting tuberculosis during his 27 years behind bars under apartheid.
Legacy: Mandela has been vulnerable to respiratory problems since contracting tuberculosis during his 27 years behind bars under apartheid.
Well-wishers: Balloons and letters wishing Nelson Mandela well are displayed at the entrance of the Medi-Clinic Heart Hospital in Pretoria, where the former South African President is being treated
Well-wishers: Balloons and letters wishing Nelson Mandela well are displayed at the entrance of the Medi-Clinic Heart Hospital in Pretoria, where the former South African President is being treated

Heartfelt: Flowers and messages of support have been left outside the Mediclinic Heart Hospital where former South African President Nelson Mandela is being treated in Pretoria, South Africa, today
Heartfelt: Flowers and messages of support have been left outside the Mediclinic Heart Hospital where former South African President Nelson Mandela is being treated in Pretoria, South Africa, today

Beloved: Art work by pre-school children wishing former South African President Nelson Mandela well are displayed at the entrance of the Medi-Clinic Heart Hospital in Pretoria today
Beloved: Art work by pre-school children wishing former South African President Nelson Mandela well are displayed at the entrance of the Medi-Clinic Heart Hospital in Pretoria today
 
SOURCE BY DAIL MAIL ONLINE
 

"NAOMBA MSAADA KWA RAISI WANGU WA NCHI, IGP SAID MWEMA, WANAWAKE WENZANGU NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA". JOYCE KIRIA

 

NAOMBA MSAADA KWA RAISI, IGP MWEMA NA WANANCHI WOTE NIPATE HAKI ZANGU NIKIWA KAMA MAMA NA MKE KUFAHAMU KUJUA MUME WANGU ALIPO.



Baada ya kukaa kwa siku mbili bila kujua alipo mume wangu, nimejitokeza mbele ya waandishi wa habari wapate kunisaidia kufikisha ujumbe wangu wa kupata msaada ya kujua mume wangu alipo.


Hapa ni karibu kabisa ya ukumbi wa habari maelezo ambapo niliwafuata waandishi wa habari ili kupata muda wa kuongea nao, nikiwa nimewabeba wanangu Lincon na Linston.


Nina watoto wawili mkubwa ni wa miaka 2 na mdogo wake ni wa miezi 4, leo ni siku ya nne hawajamuona baba yao, baba yao ni msaada mkubwa mno kwa familia yangu, Raisi Kikwete huko ulipo nakuomba usikie kilio changu, IGP Said Mwema nahitaji msaada wako, Wanawake na Wote nahitaji msaada wenu.


Hapa nikiendelea kuelezea hali halisi ya jambo hili mpaka leo hii kuja hapa, na kubwa ni kutopewa taarifa ya mume wangu alipo. Sina Amani kabisa naomba kupata taarifa kamili huko aliko yuko salama? na hata kufahamu anakula nini?


Kubwa watanzania wenzangu ni kunisaidia katika maombi ili huko aliko awe salama.

Kwa Urefu zaid habari hii itaruka katika vyombo mbalimbali vya habari zikiwepo TV kama Channel Ten, ITV, EATV, Star TV na Clouds, Radio kama Clouds, Radio One, na magazeti kama Mwananchi, Nipashe , Mtanzania, Tanzania Daima , The Citizen, Guardian, na vyombo vingine vya habari.

Nawashukuru waandishi wote ambao walikuwepo hapa, pia na watanzania wote naamini mko pamoja na mimi. .
 
HABARI HII NI KWA HISANI YA JOYCE KIRIA WANAWAKE LIVE.

Monday, June 3, 2013

HONGERA MPENDWA SHAMIMU MWASHA NA MWANA BLOGGER MWENZETU



shamim wedding 5 HONGERA SANA SHAMIMU MWASHA MWANA MWANA HABARI NA MWANA BLOGGER MWENZETU, MWENYEZI MUNGU AWAJALIE FURAHA UPENDO AMANI NA NDOA YENU IDUMU DAIMA INSHALAH..... AWAEPUSHE NA VIJINO PEMBE LOVE YOU HAKIKA MLIPENDEZA SANA.