Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tuesday, April 30, 2013

ALEIN MPELA BADO ANATIKISA ANGA LA MUZIKI AOMBA SUPORT ZAIDI YA MASHABIKI.


Mwanamuziki Mpela Alain na timu yake hivi karibuni walipiga kambi kuanzia  29 March mpaka 2 April 2013 katika jombo la   Kananga ambapo waliweza kufanya show tatu matata sana .
mgongwe huyo Alain Mpela Afande muimbaji wa zamani mmoja wa wanahisa wa kundi la muziki la  Wenge BCBG ambae kwa sasa pia ni kiongozi wa bendi ya orchestra "Generation A" ameendelea kufanya vizuri huku akiwaomba washabiki wake kuendelea kumpa moyo ili aweze kurejesha taswira yake na kuendelea kufanya vizuri katika taaluma yake.





unaweza ukakumbuka kuwa wakati Alein alipoondoka wenge BCBG , Alain Mpela pamoja na kaka yake Bouro Mpela waliweza kutikisa sana .


American Music Group Salt-N-Pepa Arrive Lagos for the “Divas Rock Concert”

By Onos O
Salt-N-Pepa
Almost all American superstars are making sure that Nigeria is a country that they visit, for whatever reason. Recently, Maxwell, George Benson, Kim Kardashian, Rick Ross and New Edition, just to name a few in recent times, have been there.  And now, legendary American Hip-Hop group, Salt-N-Pepaare one of them.
After much anticipation, the Hip-Hop divas, Cheryl James and Sandy Denton (“Salt” and “Pepa” respectively) who are headlining the “Divas Rock Concert” arrived Lagos at Muritala Mohammed Airport yesterday evening, April 28, 2013.
The “Divas Rock Concert” is scheduled for May 1, 2013 at 10 Degrees Event Centre, Oregun, Ikeja, Lagos. Other artists billed to take the stage with the  first ever female rap crew are Sasha P, Weird MC, Eva andMs. Jaie.
Check out some photos from their arrival.
SALT-N-PEPA ARRIVAL 3SALT-N-PEPA ARRIVAL 6SALT-N-PEPA ARRIVAL 2SALT-N-PEPA ARRIVAL 4
Photo Credit: Juyin Odeleye | Songkick

souce african Hit.

NAOMBA RADHI KWA WADAU WANGU KWA KUWA KIMYA KWA MUDA




NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWAOMBA RADHI WADAU WANGU WA BLOG HII KWA KUSHIDWA KUWAPA BURUDANI KWA KIPINDI KIREFU KUTOKANA NA KUWA BUSSY NA MITIHASA  PAMOJA NA MASOMO KWA UJUMLA  ILA NAPENDA KUWAMBIA SASA , KU WAHABARISHA JAPO BADO MASOMO YANANIBANA SANA NA KAZI WALAU NAAHIDI  KWA WIKI NITAKUWA NA POST HABARI 3 AU MBILI NA HILI NI OMBI AMBALO NIMELIPOKEA KUTOKA KWA WADAU WA MUZIKI WAKITAKA NISIWASAHAU JAPO KWA SASA HAWAIPATI BAMBATAA  BASI WALAU NIWE NAWADONDOSHEA NINI KIMEJIRI KATIKA ULIMWENGU WA MUZIKI HAPA AFRIKA.
ASANTE KWA KUCHUKUA WASAA WAKO KUSOMA NA KUNIELEWA UENDELEE KUWA PAMOJA.