Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Friday, July 13, 2012

WANAUME ZANZIBAR KUPEWA LIKIZO YA UZAZI.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango ya Maendeleo, Omar Yussuf Mzee, amesema mipango inaandaliwa kuhakikisha akina baba wanapatia likizo ya uzazi, pindipo wake zao wanapojifungua.
Waziri huyo alisema msingi wa hatua hiyo utasaidia ulezi wa wazazi wawili baina ya mama na baba mara tu wanapojaaliwa kupata mtoto.

Mzee alieza hayo ofisini kwake alipokuwa akitoa taarifa ya Serikali ikiwa ni maadhimisho ya siku watu duniani. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango ya Maendeleo, Omar Yussuf Mzee, amesema mipango inaandaliwa kuhakikisha akina baba wanapatia likizo ya uzazi, pindipo wake zao wanapojifungua.
Waziri huyo alisema msingi wa hatua hiyo utasaidia ulezi wa wazazi wawili baina ya mama na baba mara tu wanapojaaliwa kupata mtoto.
Mzee alieza hayo ofisini kwake alipokuwa akitoa taarifa ya Serikali ikiwa ni maadhimisho ya siku watu duniani.

Kwa miaka kadhaa hivi sasa wafanyakazi wa kike katika Serikali ya Zanzibar wamekuwa wakifaidika na mpango wa likizo ya uzazi kwa kupata mapumziko ya kipindi cha mienzi mitatu mara tu wanapojifungua na kupewa muda wa saa nzima ya kwenda kumpatia mtoto maziwa ya mama.
Alisema katika kuimarisha huduma za uzazi wa mpango na malezi kwa watoto wataozaliwa na watumishi wa umma, Serikali inakusudia kuchukua hatua ya kuwapa likizo ya uzazi wanaume ili kumsaidia mama ulezi kwa mtoto aliyezaliwa.

Alisema hivi sasa utaratibu wa likizo ya uzazi upo kwa upande mmoja tu ambao wamekuwa akipewa mwanamke, lakini hata hivyo bado haujaweza kuleta tija kutokana na wanaume kujiona kama sio sehemu ya kuisaidia familia katika kipindi hicho. Kutokana na hali hiyo, Waziri huyo alisema Wizara hiyo kwa kushirikiana na Wizara ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar, tayari imeanza kuandaa kanuni ili akina baba nao wapatiwe likizo (siku tano za kazi) la uzazi ili kumsaidia mama na mtoto aliezaliwa.
“Hatua hii itasaidia kuondokana na ile dhana kwamba suala la afya ya uzazi linamhusu mama pekee. Llakini hatua hii inategemewa iwe chachu ya kuwashirikisha akina baba katika harakati zote za huduma ya afya ya uzazi na mtoto”, alisema Waziri huyo.

Tuesday, July 10, 2012

NI KWA ODA MAALUM TU PENDEZA MWANA DADA NENDA NA WAKATI INATUMIA WIKI MOJA TU KUPATA MZIGO WAKO SHOP WITH SK: COLLECTION MALI MPYA FROM USA DRESS LIKE A HOLYWOOD STARS.

usikubali kupitwa SK: Collection kwa kushirikiana na Emmy Collection ya USA wanakupa njia rahisi ya kupendeza na kwenda na wakati  kama wafanyavyo Holywood Stars wa Marekani kwa kununua na kupendeza online kwa Oder Maalum baada ya kuona bdidhaa husika na kufikishiwa ulipo ndani ya wiki 1 mpaka 2 . kuanzia  shoes, Hand Bag, accessories, Dress, perfumes,
its for Reasonable Price
Select your choice and make a call  +255717331444 for more details.

SHOE
KILING SHOE AKA UNYAYOO $1,700



 BLUE SHOE $75

 ORAGLE SHOE IS FROM  $69




BLACK SHOE  NI $60

DRESS
MAGAUI YOTE UNAEZA PATA KWA BEI KUANZIA $ 60 MPAKA 80 MAKE A CHOICE AND GIVE ME A CALL PLZ







HAND BAG FROM $50 TO 95 $ TAKE A LOOK AND MAKE A CHOICE BABY











                                                          ACCESORIES
               bangili 40 per pc.










KARIBUNI SANA SANAAA

Monday, July 9, 2012

NA HIYO NDO HABARI YA MUJINI KWA SASA : KIGOMA ALLSTARS - LEKA DUTIGITE.

Kigoma All Stars  MWASITI, BANANA ZORO, CHEGE, DIAMOND, ABDU KIBA, OMMY DIMPOZ, RECHO, LINEX, BABA LEVO, MAKOMANDO NA PETER MSECHU. 
Dhumuni na nia ya kutengeneza wimbo huu ni kuweka umoja wa watu wa kigoma na tanzania kwa ujumla. Pia watafanya show ndani ya kigoma wiki ijayo kwa ajili ya kusaidia wanafunzi na yatima ndani ya kigoma.
NA HIYO NDO HABARI YA MUJINI LEKA DUTIGITE.

WEMA SEPETU, WOLPER HAKUNA MBABE LOL


 Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika uwanja wa taifa, Dar-es-salaam kwenye tamasha la usiku wa matumaini


shosti tupigane za kwenye mabega tu mwayaa si unajua sura zetu tena mauzo heheheheeeeeee

Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla

WABUNGE MASHABIKI WA SIMBA WAWATWANGA YANGA PENALTY 3-2


Thursday, July 5, 2012

Ecobank Kuendelea Kuikopesha NHC Ijenge Nyumba

BENKI ya Ecobank imeahidi kuendelea kulikopesha zaidi Shirika la Nyumba la Taifa  (NHC), katika mradi wa kujenga nyumba na kukopesha ili kuhakikisha Watanzania  wengi wanapata nyumba bora na za bei nafuu.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu.
Mkurugenzi Mkuu wa benki hiyo, James  Cantamantu-Koomson, ametoa ahadi hiyo wakati baada ya hafla  iliyoandaliwa na NHC kwa ajili ya kutiliana saini mkataba wa mkopo na taasisi  tisa za fedha juzi jijini Dar es Salaam.
Katika hafla hiyo, Ecobank ilisaini kutoa mkopo wa Sh bilioni 2.1 na imeahidi  kuwa itaongeza kiasi kingine cha fedha siku zijazo ili kufanikisha mradi huo  wenye manufaa kwa wananchi.
Mkurugenzi huyo alisema Ecobank inawajali Watanzania na imeahidi kuunga mkono  kwa dhati mpango huo wa NHC ili kuwakomboa Watanzania wengi ambao hawana makazi  bora kutokana na kipato kidogo.
“Sisi Ecobank mradi kama huu si mgeni kwetu, tunajali na kuthamini sana  masuala ya makazi, karibu nchi zote 30 tunazofanya kazi zetu tunashiriki miradi  kama hii, kuwapa wananchi nyumba bora ni jambo la muhimu sana,” alisema.
Ndugu Cantamantu-Koomson alisema ingawa benki hiyo ina miaka miwili tu tangu ianze kutoa huduma zake  nchini, imejitahidi kutoa huduma zinazokidhi mahitaji ya Watanzania na kushiriki  katika shughuli mbalimbali za kijamii.
Mwishoni mwa mwaka 2011, NHC ilipewa kibali na Serikali kukopa kwenye taasisi  za fedha za ndani na nje ya nchi ili kuendeleza miradi ya ujenzi
Kwa ujumla Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limesaini mikataba ya mkopo wa Sh bilioni 165 kutoka kwa taasisi nyinginezo  tisa za fedha kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa miradi ya ujenzi wa nyumba pamoja na ununuzi wa ardhi ya akiba.
Taasisi za fedha zilizotoa  mkopo huo pamoja na kiwango walichotoa kwenye mabano ni pamoja na CRDB (Sh bilioni 35), ECO Bank (Sh bilioni 2.1), TIB (Sh bilioni 22), BancABC  (Sh bilioni 4.2), NMB (Sh bilioni 26), CBA (Sh bilioni 24), LAPF (Sh bilioni  15), Azania (Sh bilioni saba) na Shelter Afrique (Sh bilioni 23).

SOURCE http://monfinance.com/ FOR MORE INFORMATION

FERRE GOLA NA FALLY IPUPA WAUNGANA KWA PAMOJA NA KUIMBA WIMBO KWA AJILI YA WATOTO NA AMANI NCHINI CONGO.

Wanamuziki chipukizi katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Ferre Gola na Fally Ipupa, wameungana pamoja na kuimba wimbo kwa ajili ya watoto na amani nchini humo.
Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa(UNICEF)
Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa(UNICEF)
Mradi huo wa pamoja utafadhiliwa na mashirika ya kimataifa yakiwemo Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF na Shirika la Msalaba Mwekundu.


Fedha zitakazotoka baada ya kuuza wimbo huo zitatumiwa kwenye miradi ya elimu na huduma za kiafya za watoto yatima. Hata hivyo kuimba pamoja kwa Ferre Gola na Fally Ipupa kumezusha maoni mengi kwa mashabiki wao kuhusu nani mwanamuziki bora.

Wednesday, July 4, 2012

Bachelors Party ndo hiyo sasa jumamosi ya tarehe 14 mwezi wa 7 Bagamoyo


Bachelors Party ndo hiyo sasa jumamosi ya tarehe 14 mwezi wa 7 Bagamoyo! Kwa 70,000 kwa usafiri wa kwenda na kurudi, chakula, Malazi, na bata! U wanna join? emaill me  for more detais! sophia80tz@yahoo.com